ZIJUE SIFA 15 ZA MWANAUME ANAEPENDWA NA MWANAMKE

Tuesday, September 170 comments




Pengine watu wengi wamekuwa wakitafuta ni jinsi  gani wanaweza kupendwa na wasichana au wanawake. Niwazi kabisa kila mwanamke anachaguo lake kwa mwanaume ampendae.Huenda ukawa unavigezo kibao lakini akapenda mweyevigezo vichache. Vitafute vigezo hivi 15 ambavyo wasichana wengi hupenda kutoka kwa mwanaume ili nawe uwe miongoni mwa wanaume wenye kupendwa. Jifunze kupitia al-amini Official Blog:-

1. Mcheshi

2. Kujiamini

3. Mwenye utashi

4. Anayetoa msaada unapohitajika

5. Anaetunza siri

6. Mwenye kujithamini

7. Mwenye malengo / makini 

8. Mwenye mawazo mapana 

9. AliyeMuwazi na mkweli  

10. Anayeridhika       

11. Aliyeshupavu na jasiri

 12. Mwenyehuruma

13. Anaesamehe

14. Mwenye Hadhi na heshima

15. Hisia ya uadilifu.
Share this article:

Unaonaje huu Muonekano?

 
Support : Management

Copyright © 2011. Al-amini Official blog - All Rights Reserved
Template Modify by Al-Amini
Proudly powered by Blogger